Baba mazazi wa Marehemu kanumba alishindwa kufika kwenye msiba wa Mwanawe licha ya kutumiwa nauri na badala yake akawatuma ndugu zake watatu wa Kanumba ambao walionekana Msibani.
Mzee alishindwa fika sna sababu kubwa mbili
kuumwa MALARIA na
kuchomwa sindano za masaa pamoja na kukutwa na BP iliyosababisha kizunguzungu.

No comments:
Post a Comment