mafia Crewz

Bizo

Pages

Tuesday, June 26

LULU ALIPOFIKISHWA MAHAKAMANI

                      Lulu akielekea kupanda kwenye basi  tayari kuelekea magereza katika mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam.

Msanii wa Filamu nchini Elizabeth Michael (Lulu) akipanda basi la Magereza baada ya kutoka kusikiliza kesi ya kudaiwa  kuuwa inayomkabili kwenye Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam baada ya kesi hiyo kuhairishwa hadi 9.7.2012.

No comments: