![]() |
| Lulu akielekea kupanda kwenye basi tayari kuelekea magereza katika mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam. |
Msanii
wa Filamu nchini Elizabeth Michael (Lulu) akipanda basi la Magereza
baada ya kutoka
kusikiliza kesi ya kudaiwa kuuwa inayomkabili kwenye Mahakama kuu ya Tanzania
kanda ya Dar es Salaam baada ya kesi hiyo kuhairishwa hadi 9.7.2012.


No comments:
Post a Comment