mafia Crewz

Bizo

Pages

Friday, April 13

JAMAA AMUA KULA NA KULALA KWENYE KITANDA CHA DIDDY


"There is a stranger on my bed.... and he ate my food" hayo ni maneno ya Diddy kwenye viombo vya habari, Ilikuwa tarehe 1 April caretaker ndani ya nyumba ya Diddy alimkuta Quamine Taylor mwenye umri wa miaka 30 akiwa amelala katika moja ya vyumba vilivyopo na kuwapigia simu police.

 "huyu ndio jamaa aliye amuaa kula goodtimes ndani ya jumba la kifahari Quamine Taylor 
  Quamine Taylor inasemekana aliweza kupenya kwenye moja ya mlango ambao haukufungwa, aliingia ndani akanywa vinjwaji vilivyokuwepo na akala mpaka akasaza mwenye baada ya hapo alikwenda kujilaza ikiwa masaa 24 kabla hajakutwa na caretaker ambaye aliripoti police

No comments: