mafia Crewz

Bizo

Pages

Friday, July 13

WEMA NA WOLPER BAAADA YA PAMBANO julai 7


WEMA NA WOLPER

Wema Sepetu na Jacqueline Wolper wakijifua kabla ya mpambano wao leo.

WEMA NA WOLPER TENA BASI

Wema Sepetu na Jacqueline Wolper wameonekana kudhamiria kuachana na yaliyopita na kuanza maisha mapya baada ya kunaswa wakiwa chumbani katika hoteli moja maarufu jijini Dar es Salaam  muda mfupi baada ya kumaliza pambano lao la kirafiki la mchezo wa masumbwi. Wakiwa na nyuso zenye matabasamu ya nguvu, walikuwa wamelala katika kitanda kimoja na kujifunika shuka moja huku wakiendelea na stori za hapa na pale. Kwa namna ilivyokuwa ni kama hapakuwahi kutokea bifu lolote kati yao.

Tuesday, June 26

WEMA SEPETU AZINDUA FILAMU YAKE YA SUPER STAR

Mwigizaji Wema Sepetu akiingia ukumbini wakati wa uzinduzi wa filamu yake ya Super Star        
 
 akipozi kwa picha mara baada ya kukaa kabla ya kuanza kuchezwa kwa Demo ya filamu


Waigizaji mbalimbali wakiwa katika uzinduzi huo



Wanamzuiki, watangazaji  pamoja na waigizaji mbalimbali wa filamu walihudhuria katika uzinduzi huo

uzinduzi wa filamu ya Super Star iliyochezwa na mwana dada Wema Sepetu

STAR WA NIGERIA OMOTOLA JALADE AKIWA NA WATOTO YATIMA LEO

Mchezaji wa Filamu kutoka nchini Naigeria Omotola Jalade katikati akiwa katika picha ya pamoja na mwigizaji Wema Sepetu kushoto na Khadija Mwanamboka pamoja na watoto yatima wa kituo cha Tanzania Mitindo House cha jijini Dar es salaam Omotola amekuja nchini maalum kwa ajili ya uzinduzi wa filamu ya Wema Sepetu Super Star



LULU ALIPOFIKISHWA MAHAKAMANI

                      Lulu akielekea kupanda kwenye basi  tayari kuelekea magereza katika mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam.

Msanii wa Filamu nchini Elizabeth Michael (Lulu) akipanda basi la Magereza baada ya kutoka kusikiliza kesi ya kudaiwa  kuuwa inayomkabili kwenye Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam baada ya kesi hiyo kuhairishwa hadi 9.7.2012.

Friday, June 22

SAUDA MWILIMA AJIFUNGUA


MTANGAZAJI wa Kipindi cha Bongo Beats cha StarTV, Sauda Mwilima amepata pigo baada ya mtoto aliyejifungua Juni 12, mwaka huu kuwa siyo riziki yake.Inasemekana alipata uchungu wa kujifunguamida ka mida ya jioni hivi. Baada ya kupatwa na hali hiyo alikimbizwa katika Hospitali ya Dk. Mvungi iliyopo eneo la Kinondoni na  iligundulika kwamba mtoto alifia tumboni.

“Inawezekana mtoto alifia tumboni wakiwa njiani kumleta hapa,” alisema mmoja wa wauguzi wa hospitali hiyo

DOGO JANJA ATUA JIJINI DAR, AJIUNGA MTANASHATI ENTERTAINMENT

Msanii chipukizi wa muziki wa Hip Hop, Abdulaziz Chende maarufu kwa jina la Dogo Janja, leo amerudi jijini Dar es Salaam na kujiunga na kundi la Mtanashati Entertainment. Mwanzo Dogo Janja alikuwa kundi la Tip Top Connection linaloongozwa na Madee lakini ilitokea kutoelewana kati yao na kurudishwa kwao Arusha. Janja karudi jijini kwa ndege ya Air Tanzania na anataraji kusaini mkataba na kundi hilo la Mtanashati kuanzia sasa. 




Monday, May 28

Jason Walker- Echo